MATAZAMIO YA BAADAYE

 

1. Kuendelea na ujenzi wa misikiti na ukarabati wa miskiti mikongwe.

2. Kusambaza misahafu kwa wanafunzi wa kiislamu na misikitini.

3. Kwa ujumla kuendelea na baadhi ya malengo yaliyopo na kuangalia njia za kuanzisha miradi mipya ambayo itaingiza mapato kwa ajili ya miskiti na skuli za Qur-an ili kuendeleza madhumuni yake bila ya vikwazo au matatizo ya kifedha.

4. Kujenga vyuo vikuu vya kiislam.

5. Kujenga primary na secondari school katika nchi mbali mbali tunazozishughlikia kwa hivi sasa.

6. Kuanzisha skuli za uhasibu na utawala wa ofisi.

7. Kuwaelimisha wanawake katika ushoni .

8. Kuendelea kuchimba visima panapohitajika.

 Yote hayo yatawezekana kwa kupata msaada na mchango wako wa dhati.

Jumuiya hii imejitayarisha pamoja na kujiwekea mipango madhubuti ya kufanikisha malengo yake.

 

Copyright ©2004  Uislam.net