|

|
 |
| |
|

President wa SENATE wa
Burundi ndie aliempokea Samahat Sheikh uwanja wa ndege mjini Bujumbura.
|

رئيس مجلس الشيوخ البروندي في مقدمة مستقبلين سماحة
الشيخ في مطار العاصمة - بوحومبورا
|
|
UFUGUZI WA MASJID ISTIQAMA (Bujumbura) |
|
Masjid Al-Istiqama ni msikiti ambao
uliojegwa katika Mwaka wa 1942 na Waomani waliokuwa wakiishi katika
mji huo wa (Bujumbura) na ulikuwa ni msikiti mdogo hauna haduma za
kisasa. Alhamdulilah baada ya juhudi za watu wa hapo wakaujenga upya
msikiti huu, pamoja na kuukuzisha ukaweza kusali zaidi ya watu mia
tatu (300) ndaini yake. Na Samahat Sheikh akapata Mualiko wa kwenda
kuufungua msikiti huu kirasmi katika terehe 16/2/2007. Pamoja
na Msikiti huu kuna Maktaba vikiwemo vitabu mbali mbali ndani yake,
maktaba ina nafasi ya kutosha kwa wale wanaotaka utafiti wa elimu.
|
|
 |
 |
| |
|
 |

|
| |

Samahat Sheikh
Akitembelea
Maktaba ya Msikiti wa Bujumbura |

سماحة الشيخ
يتجول في مكتبة مسجد الاستقامة - بوجومبورا |
|
إفتتاح مسجد
المرحوم (
محمد بن حمدان الشرجي ) رمونجي
UFUNGUZI WA MSIKITI WA
MAREHEMU MOHAMMED BIN HAMDAN AL-SHARJI
(ROMONGE) |
|
Msikiti huu
umejengwa mwaka 1971 na mwenyewe Marehemu kwa idhini ya Allah
Mohammed bin Hamdan Al-Sharji. Kisha ukajengwa upya na watoto wake
katika mwaka 2006 na kufunguliwa Rasmi na Samahat Sheikh Ahmed bin
Hamed Al-Khalili Mufti Mkuu wa Oman.


|
| |

Sheikh akizungumza
na Waislamu katika msikiti wa Romonge
|

Sheikh akitembelea Maktaba ya Msikiti
bado imo katika matayarisho |
|
Matembezi ya Sheikh katika Chuo
cha Mayatima (Bujumbura) |
|

|
 |
| |
|