DUA YA KUINGIA NA KUTOKA CHOONI
- الهم إني أعوذ بك من الخبث والخبائث
Allahuma inny audhu bika minalkhubth walkhabaaith.
Na ukitoka husema: غفرانك (ghufranak, mara 3)
Mwenyezi Mungu najilinda kwako na majini makhabithi wa kike na wa kiume.