|
|

BARUA YA
WIKI
(Mkumbuke Allah) |
|
BARUA HII
IMESHASOMWA NA WATU: |
|
ÈöÓúãö Çááøóåö ٱáÑøóÍúãóÜٰäö ٱáÑøóÍöíãö
1.
Aya tukufu:
﴿æóٱÊúáõ Úóáóíúåöãú äóÈóÃó ٱÈúäóìú
ÁÇÏóãó ÈöٱáúÍóÞø ÅöÐú ÞóÑøóÈóÇ ÞõÑúÈóÜٰäÇð ÝóÊõÞõÈøáó ãöä ÃóÍóÏöåöãóÇ æóáóãú
íõÊóÞóÈøóáú ãöäó ٱáÂÎóÑö ÞóÇáó áÇóÞúÊõáóäøóßó ÞóÇáó ÅöäøóãóÇ íóÊóÞóÈøóáõ
ٱááøóåõ ãöäó ٱáúãõÊøóÞöíäó﴾
﴾Na soma juu yao habari ya watoto
wawili wa Adam; wakati walipopeleka sadaka zao; basi ilikubaliwa kwa mmoja
wao na haikukubaliwa kwa mwengine. Akasema: Hakika nitakuua". Akasema:
Hakika yalivyo ni kua anakubali Allah kwa Wachamungu﴿
[Maidah
27]
2.
Hadithi ya wiki:
æóÑõæöíó Ãóäøó ÓóÇÆöáÇð ÓóÃóáó ÝóÞóÇáó: íóÇ ÑóÓõæúáó Çááåö Ãóíøõ
ÇáúãõÄúãöäöíúäó ÃóßúíóÓõ¿ ÝóÞóÇáó Õóáøóì Çááåõ Úóáóíúåö æóÓóáøóãó:
ÃóßúËóÑõåõãú áöáúãóæúÊö ÐößúÑÇð¡ æóÃóÍúÓóäõåõãú áóåõ ÇÓúÊöÚúÏóÇÏÇð.
ÃõæáóÆößó ÇáÃóßúíóÇÓõ ÐóåóÈõæúÇ ÈöÔóÑóÝö ÇáÏøõäúíóÇ æóßóÑóÇãóÉö ÇúáÂÎöÑóÉö"
"Imepokewa
kua mwenye kuuliza aliuliza: Ewe Mjumbe wa Allah hivi ni nani Katika Waumini
mwenye busara zaidi? Basi Mtume (s.a.w) alisema: Ni yule aliyekua ni mwingi
zaidi wa kukumbuka mauti, na mwenye kujitayarisha vizuri zaidi kwa ajili ya
hayo mauti. Hao ndio wenye busara; wameondoka pamoja na Utukufu wa Dunia na
Cheo cha Akhera"
3.
Hekima ya wiki:
"Ubora
wa Uislamu wa mtu ni kuacha lisilomuhusu"
4.
Dua ya wiki:
Inapokaribia
Magharibi sema hivi:
Çááøóåõãøó Èößó ÃóãúÓóíúÊõ¡ æóÈößó ÃóÕúÈóÍúÊõ¡ æóÈößó ÃóÍúíóÇ¡ æóÈößó¡
ÃóãõæúÊõ æóÅöáóíúßó ÇáúãóÕöíúÑõ
"Allahumma
bika amsaytu, wabika asbahtu, wabika ahyaa, wabika amuutu, wailayka lmaswiir"
"Ewe
Mola wangu; kwa kutaka wewe nimeingia jioni, na kwa kutaka wewe ninaing
asubuhi, na kwa kutaka wewe niko hai, na kwa kutaka wewe nitakufa, na kwako
wewe ndio Marejeo"
Wassalamu alaykum
Msikiti wa Ibadhi Bujumbura
20/08/1426H
|